BIASHARA LEO; Ni Kiasi Gani Cha Faida Unawekeza Kwenye Biashara Yako?

By | April 19, 2016
Moja ya sababu kubwa kwa nini biashara nyingi huwa zinadumaa ni kukosekana kwa uwekezaji endelevu. Mtu anaanza biashara na miaka inapita lakini biashara inabaki pale pale, haikui wala kutanuka. Hii inasababishwa na mfanyabiashara kutumia faida yote anayoipata kutoka kwenye biashara yake. Kama na wewe unaendesha biashara yako kwa mtindo huu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz