UKURASA WA 476; Mbele Kwa Mbele…

By | April 20, 2016
Akili yako na mawazo yako yote yanapaswa kuwa kwenye kile kitu ambacho unakitaka au unakitafuta, na siyo mahali pengine popote. Kuiondoa akili yako kwenye kile unachotaka na kuanza kufikiria kingine ni kujipoteza. Kama unataka kufanikiwa kwenye jambo lolote, ni lazima ufikirie jambo hilo, ni lazima uangalie kule unakotaka kwenda. Na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz