Umuhimu wa akaunti ya biashara katika kupata mkopo.

By | April 25, 2016
Biashara yoyote inapaswa kukua zaidi kadiri muda unavyokwenda. Na kuna njia nyingi za kuikuza biashara, mojawapo ikiwa ni kuongeza mtaji wa biashara hiyo. Na pia kwenye kuongeza mtaji, kuna njia nyingi za kuweza kufanya hivyo, unaweza kutumia faida unayoipata, na pia unaweza kuomba mkopo kwenye taasisi za kifedha kama benki.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz