UKURASA WA 481; Jifukuze Wewe Mwenyewe…

By | April 25, 2016
Moja ya vitu vinavyotuzuia kufikia mafanikio makubwa kwenye chochote tunachofanya kwenye maisha yetu ni mazoea. Huwa tunaanza kufanya kitu tukiwa na hamasa kubwa sana na tunaweka juhudi kubwa na ubunifu pia. Lakini baada ya muda tunazoea na hivyo kufanya kwa mazoea, ubunifu unakwisha na juhudi zinakuwa kidogo. Hii ni kwenye

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz