UKURASA WA 484; Kama Ni Muhimu Kwako….

By | April 29, 2016
Kama kitu ni muhimu sana kwako, basi lazima utapata njia ya kukifanya, hutakuwa na sababu yoyote kwa nini huwezi kufanya. Kama kitu ndiyo pekee unategemea, yaani huna namna nyingine, utatafuta kila njia uweze kukifanya, sababu yoyote itakayojitokeza mbele yako hutaipokea, badala yake utatafuta njia ya kuweza kufanya. Hivyo kama kuna

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz