FALSAFA MPYA YA MAISHA; Usiruhusu Vitu Vidogo Viharibu Siku Yako.

By | May 1, 2016
Habari za leo mwanafalsafa mwenzangu? Maisha bila ya falsafa ni sawa na bendera iliyotundikwa. Bendera hii haina maamuzi yoyote, bali hufuata uelekeo wa upepo. Hakuna hatari kubwa ya kuishi kama kukosa falsafa ya maisha yako. kwa sababu utajikuta unafanya vitu ambavyo hujui kwa nini unafanya, na vibaya zaidi unapoteza muda

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: FALSAFA MPYA YA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz