Tabia Tano (5) unazohitaji ili kuwa muuzaji bora.

By | May 2, 2016
Biashara haijakamilika kama mtu hajanunua kitu. Mambo yote unayofanya kwenye biashara yako ni kwa ajili ya kukamilisha kitu hiki muhimu sana, ambacho ni kumuuzia mteja wako kile ambacho unauza. Pale mteja anaporidhika na kutoa fedha yake ili apate bidhaa au huduma unayotoa ndio biashara inakuwa imekamilika. Katika maeneo mengi muhimu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz