UCHAMBUZI WA KITABU; The Essentials Of Business Etiquette. (Tabia Muhimu Za Kuzingatia Kwenye Mahusiano Ya Kibiashara)

By | May 4, 2016
Tabia zetu zina athari kwenye biashara au kazi tunazofanya. Kuna baadhi ya mambo tunaweza kuwa tunafanya na yakawa yanaharibu sana sifa zetu kwenye biashara na hata kazi. Mwandishi na mshauri Barbara Pachter anatushirikisha tabia za kuzingatia kwenye maeneo yetu ya kazi na hata biashara katika kitabu chake The Essentials Of

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: UCHAMBUZI VITABU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz