UKURASA WA 491; Ulichonacho Na Usichokuwa Nacho…

By | May 7, 2016
Tunapokuwa wenyewe na kupata nafasi ya kufikiria maisha yetu, huwa tunafikiria vile vitu ambavyo tunavitaka lakini bado hatujavitapa. Tunafikiria kwa kina jinsi gani maisha yetu yatakuwa bora kama tutapata vitu hivyo ambavyo hatuna. Lakini tunasahau ya kwamba kuna vitu ambavyo tunavyo sasa, ambavyo tunavichukulia kwa ukawaida, lakini kama vikiondoka tutavikosa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz