Vitu vinne vinavyochangia thamani na kipato cha biashara yako.

By | May 16, 2016
Kujua thamani ya biashara yako na kipato unachoweza kuingiza kupitia biashara hiyo ni moja ya vitu muhimu unavyotakiwa kuzingatia. Na kama ukiweza kufanya hivi kabla hujaanza biashara yako unaweza kuianza ukiwa na mpango bora wa kutoa thamani kubwa na kutengeneza kipato kizuri.  Watu wengi wamekuwa wanaingia kwenye biashara na kufanya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz