Dhumuni kuu la biashara siyo kupata faida pekee.

By | May 23, 2016
Moja ya tofauti ya wajasiriamali na wafanyabiashara ni kwenye faida. Wafanyabiashara wanaongozwa na faida pekee, yaani wao wanaangalia ni kipi chenye faida na hivyo kukifanya. Lakini wajasiriamali wapo tofauti kidogo, wao hawaangalii faida pekee, bali wanaangalia mchango wanaoutoa kwa wengine. Wajasiriamali wanaangalia ni kipi ambacho kinakosekana na wanatafuta njia ya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz