UKURASA WA 508; Kufanikiwa Kwenye Kila Kitu Ni Hatari…

By | May 24, 2016
Lengo la kila mmoja wetu ni kufanikiwa, kuwa bora zaidi ya tulivyo sasa na kufikia hatua ambazo kwa sasa bado hatujazifikia. Lakini kama kwenye kila kitu unachofanya unafanikiwa, kama kila lengo unaloweka unalifikia ni hatari kubwa sana. Unaweza kushangaa kwa nini iwe hivyo, kama kweli utaweka juhudi na kufikia kile

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz