Mambo ya kuzingatia ili kupata wawekezaji kwenye biashara yako.

By | May 30, 2016
Mtaji wa fedha ni eneo muhimu kwa biashara yoyote. Ili uweze kuanza au kukuza biashara yako, mtaji wa fedha unahitajika. Inawezekana ukawa ni mtaji kidogo au mkubwa kulingana na wazo la biashara ulilonalo. Kwa wajasiriamali na wafanyabiashara, wengi hawana kiasi cha fedha cha kutosha kuanzisha au kukuza biashara zao. Na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz