Sababu tatu kwa nini biashara nyingi zinakufa haraka.

By | June 6, 2016
Kati ya watu wengi wanaoingia kwenye biashara kila mwaka, ni wachache sana wanaoweza kuendeleza biashara zao na zikaweza kufikia ngazi kubwa ya mafanikio. Watu wengi wamekuwa wanaishia katikati na kufunga biashara zao. Na wale ambao hawazifungi, wanakuwa wanaziendesha bila ya faida au kwa faida kidogo kiasi cha kushindwa kuzikuza zaidi.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz