UKURASA WA 521; Mateso Siyo Mashindano…

By | June 6, 2016
Unapoendesha maisha yako ndani ya jamii kuna vitu vingi unatakiwa kuwa makini navyo. Kuna vitu ambavyo watu wamekuwa wanafanya kwa mazoea tu, huwa haiulizwi kwa nini inafanyika. Usipokuwa makini unajikuta unafanya vitu ambavyo havina manufaa yoyote kwako. Moja ya vitu ambavyo vimekuwa vinachukuliwa kama ni kitu cha kawaida wakati siyo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz