UKURASA WA 530; Wasaidie Kuondokana Na Hofu Ya Kutokujua…

By | June 15, 2016
Mteja yeyote anayekuja kununua kwenye biashara yako kwa mara ya kwanza anakuwa na hofu kama kweli kile unachotaka kumuuzia kitamsaidia, au kitakuwa na sifa ambazo unazisema. Anachukua hatari kubwa sana kununua kwa mtu ambaye hamjui kabisa. Mtu yeyote anayekuajiri kwa mara ya kwanza anakuwa na hofu kama kweli utaweza kutimiza

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz