UKURASA WA 529; Fedha Na Uhuru…

By | June 14, 2016
Uhuru ndiyo kitu ambacho tunakipigania na kukitafuta, kwa sababu uhuru kwenye maisha ndiyo unaotuwezesha kuishi yale maisha ya ndoto yetu, ambayo ni bora na yenye furaha. Kwa bahati mbaya sana kwenye jamii zetu, uhuru umewekwa pamoja na fedha. Kwamba kama unataka kuwa huru basi unahitaji kuwa na fedha nyingi, tafuta

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz