UKURASA WA 535; Upendeleo…

By | June 20, 2016
Moja ya tabia zetu binadamu ni kuhakikisha tunakwenda sawa na maamuzi yetu, yaani yale maamuzi ambayo tunayafanya, tunahakikisha tunaweza kuyatetea na yanaendana na sisi. Kuna rafiki yangu mmoja alikuwa ananieleza ni jinsi gani kumiliki gari binafsi siyo muhimu kwake. Kwamba ni kutumia fedha ambazo hazina malipo kwake. Alinielewa kwa mifano

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz