UKURASA WA 556; Gharama Ya Bei Unazoweka Kwenye Biashara Yako…

By | July 9, 2016
Kila kitu kwenye maisha yetu kina gharama. Kuna gharama fulani unatakiwa kulipa ili uweze kupata kile ambacho unataka. Gharama hii inaweza kuwa kwenye mfumo wa fedha, muda, juhudi na hata utu binafsi. tunalipa gharama kwenye kila eneo la maisha yetu, kuanzia kwenye familia, kazi, biashara na hata kwenye jamii tunazoishi.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz