BIASHARA LEO; Kwa Mabadiliko Yanayoendelea Nchini, Ni Lazima Tubadili Mbinu Zetu Za Kibiashara Kama Tunataka Kufanikiwa.

By | July 21, 2016
Kumekuwa na kilio na malalamiko ya wafanyabiashara nchi nzima juu ya hali ngumu ya ufanyaji wa biashara. Tangu kumetokea mabadiliko ya uongozi kwenye nchi yetu Tanzania, kumekuwa na mabadiliko mengi yanayoendelea nchini. Mabadiliko haya yamebadili sana hali ya uchumi na hivyo kuvuruga mambo mengi ya kibiashara. Tunashuhudia biashara kubwa zikifungwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz