MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
UKURASA WA 618; Kilichokufikisha Hapo Ulipo Sasa Ni Hiki…
Kwa kumwangalia tu mtu, unaweza kujua ni kitu gani kimemfikisha pale alipo sasa, ni maamuzi gani alifanya au hakufanya yamepelekea kuwa pale alipo sasa. Kwa mfano unapomwangalia mtu ambaye yupo kwenye ajira miaka mingi na malalamiko yake ni kipato kutokutosheleza, huku akiwa na madeni mengi, iko wazi kwamba mtu huyu