UKURASA WA 651; Kile Unachoweza Kufanya Sasa…

By | October 12, 2016
Kila mmoja wetu kuna wakati ambao anapitia mambo magumu kwenye maisha yake. Wakati ambao unakutana na changamoto na kuona hakuna tena njia nyingine ya kwenda. Nyakati kama hizi ni ngumu sana na haijalishi wewe ni nani, zinaumiza. Tunapokuwa kwenye nyakati kama hizi, ni rahisi sana kukata tamaa, kwa sababu kwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz