Taarifa muhimu kuhusu KISIMA CHA MAARIFA.

By | October 15, 2016

Habari rafiki?

Naomba nichukue nafasi hii kukupa taarifa muhimu kuhusu KISIMA CHA MAARIFA kwa wale ambao tayari ni wanachama na ambao siyo wanachama.

Kulikuwa na tatizo la kuingia kwenye KISIMA CHA MAARIFA ambapo baadhi ya wanachama walishindwa kuingia na kusoma makala kama ilivyo kawaida. Tatizo hili lilitokana na mfumo wetu kuwa na shida fulani.

Kwa sasa tumebadili mfumo na kuwa bora zaidi. Kwa sasa kila mwanachama anaweza kujiandikisha na kubadili taarifa zake yeye mwenyewe, tofauti na ilivyokuwa awali.

Kutokana na mabadiliko haya ya mfumo, kuna baadhi ya taarifa za wanachama zimebadilika, ikiwepo password.

Hivyo nawaomba wanachama wote mchukue hatua zifuatazo;

  1. Nenda kwenye kisima cha maarifa, kisimachamaarifa.co.tz fungua makala yoyote kusoma, itakuletea taarifa kwamba ili usome makala lazima uwe mwanachama au ulog in.
  2. Log in kwenye nafasi iliyotolewa, weka username na password, kisha bonyeza logi n. Kama utafanikiwa utaendelea kusoma makala. Kama itashindikana itakuambia logi n failed, bonyeza click here to continue.
  3. Itakuletea upya fomu ya kujaza, bonyeza sehemu ya kulog in, bonyeza sehemu ya FORGOT PASSWORD, CLICK HERE TO RESET ukibonyeza hapo itakuletea fomu ya kuomba kubadili password.
  4. Weka username yako na email yako, utatumiwa email ya kubadili password, fuata maelekezo.
  5. Nenda kwenye email yako kuangalia email iliyotoka Makirita Amani Kisima cha maarifa, kama huioni nenda kwenye spam email, kama huioni nenda sehemu ya kusearch kisha search MAKIRITA AMANI KISIMA CHA MAARIFA.
  6. Ukishapata email kuna link utabonyeza itakuletea sehemu ya password mpya, kuna password itapendekezwa, usichukue hiyo, ifute na weka password mpya utakayoikumbuka.
  7. Badilisha password yako na utatumiwa email ikikuambia password imebadilishwa.

Kwa wale ambao siyo wanachama, ingia; www.kisimachamaarifa.co.tz/kujiandikisha au BONYEZA MAANDISHI HAYA kujiandikisha. Ukishajiandikisha utatumiwa email yenye maelekezo ya kuwa mwanachama. Hutaweza kulog in mpaka pale uanachama wako utakapodhibitishwa. Ukijiunga halafu ukawa hujapokea email angalia kwenye spam email utakuta email.

Karibu sana, kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA, jiunge leo kwa kutembelea www.kisimachamaarifa.co.tz/kujiandikisha au KUBONYEZA HAPA KUJIUNGA

Niombe radhi kwa usumbufu wowote ambao umeupata katika kipindi hiki.

Tuendelee kuwa pamoja, tukishirikishana maarifa bora ya kufanya maisha yetu kuwa bora zaidi na kufikia mafanikio makubwa.

Kama unaendelea kupata shida kusoma makala kwenye KISIMA CHA MAARIFA, nitumie ujumbe kwa njia ya wasap kwenye namba 0717 396 253

Kila la Kheri Rafiki Yangu.

Rafiki na Kocha wako,

Makirita Amani,

Kwa ushauri na Coaching bonyeza maandishi haya kupata utaratibu.

Kwa kupata vitabu vya biashara na mafanikio tembelea MOBILE UNIVERSITY (bonyeza hayo maandishi.)

Kupata blog ya kitaalamu unayoweza kuitumia kutengeneza kipato tembelea MTAALAMU NETWORK

Category: KUTOKA KWA KOCHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz

Leave a Reply

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.