UKURASA WA 673; Misingi Mikuu Miwili Ya Kukuza Biashara Yoyote Ile.

By | November 3, 2016
Kuna kauli ya wahenga kwamba kizuri chajiuza, kibaya chajitembeza… Hii ni kauli ambayo ina uhalisia mkubwa kwenye maisha yetu ya kila siku. na kwenye uendeshaji na ukuzaji wa biashara zetu, ina ukweli nusu na uongo nusu. Kila siku watu wamekuwa wanajifunza na kushauriwa mbinu mbalimbali za kukuza biashara zao ili

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz