FALSAFA MPYA YA MAISHA; Maana Halisi Ya Kuwa Mtu.

By | May 7, 2017
Karibu mwanafalsafa kwenye makala zetu za falsafa mpya ya maisha, ambapo tunashirikisha na kujenga falsafa mpya ya maisha bora, yenye furaha na mafanikio makubwa. Maisha yetu ni kile tunachotengeneza wenyewe, iwe tunajua au hatujui. Upo hapo ulipo sasa, kutokana na falsafa ambayo umechagua kuiishi, iwe ulichagua kwa kujua au kutokujua.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: FALSAFA MPYA YA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz