BIASHARA LEO; Je kinafanya kazi?

By | June 25, 2017
Unapokuwa mfanyabiashara, maisha yako unayajenga kwenye msingi wa kuuza vitu, yaani unapata kipato cha kuendesha maisha, kupitia kile unachouza. Sasa kwa kuwa hayo ni maisha, lazima uwe makini sana kwa sababu kosa dogo unaloweza kufanya, litakuwa na madhara makubwa sana kwako. Wapo watu ambao wameharibu biashara zao kwa makosa madogo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz