#TAFAKARI YA LEO; ZUNGUKWA NA WANAOKUVUTA KWENDA JUU…..

By | December 8, 2017
The key is to keep company only with people who uplift you, whose presence calls forth your best. – Epictetus Habari za asubuhi ya leo mwanamafanikio? Hongera kwa siku ya leo, nafasi nyingine nzuri na ya kipekee kwetu kwenda kuweka juhudi kubwa. Kama kuna chochote ambacho jana ulisema utafanya kesho,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz