UKURASA WA 1073; Darasa La Kushindwa Kwako….

By | December 8, 2017
Mwandishi Brian Tracy kwenye kitabu chake cha THE PSYCHOLOGY OF SUCCESS anasema kwamba watu ambao hawajafanikiwa wana tatizo kubwa sana. Wakipata kitu wanaona ni bahati, na wakishindwa au kukosa kitu basi wanaona ni bahati mbaya au kisirani kwao. Kwa njia hiyo, hawajifunzi na wala hawapati mbinu bora za kupata kile

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz