UKURASA WA 1175; Wakati Mwingine Siyo Makosa Yako…

By | March 20, 2018
Kuna wakati tunafanya kila tunachopaswa kufanya, tunajitahidi kuhakikisha kila kitu kinakwenda sawa, na tunategemea kupata matokeo bora kwa hatua tulizochukua. Lakini kinachotokea ni tunapata matokeo ya tofauti kabisa, matokeo yanakuwa mabaya kama vile hatujafanya kitu kabisa. Hapa ni rahisi kuanza kujilaumu na kuona kwamba tuna matatizo fulani. Tunaweza kuona tuna

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz