UKURASA WA 1176; Jikumbushe Maisha Yalikuwaje Kabla Ya Ulichozoea…

By | March 21, 2018
Mazoea ni sumu mbaya ambayo imekuwa inawasahaulisha watu kule walipotoka na kujikuta wanafanya makosa ambayo yanawarudisha kule walikotoka. Chukulia mfano wa mtu ambaye hana kazi, na maisha ni magumu, anaomba sana apate kazi, hata kama ni kazi yoyote na ataifanya kwa moyo kwa malipo yoyote. Kwa kuwa mawazo hujenga, basi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz