UKURASA WA 1243; Ujumbe Uliopo Ndani Ya Kushindwa…

By | May 27, 2018
Huwezi kufanikiwa kwenye maisha bila ya kupitia kushindwa. Na tunaweza kusema kinachowatofautisha wanaofanikiwa na wasiofanikiwa ni kushindwa. Kila anayejaribu kufanya chochote kwenye maisha, lazima akutane na kushindwa. Kinachowatofautisha wanaofanikiwa na wasiofanikiwa ni kinachotokea baada ya kushindwa. Wasiofanikiwa, huacha baada ya kushindwa, huchukulia kushindwa kama kikwazo kikuu cha kufikia ndoto zao,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz