UKURASA WA 1244; Jinsi Ya Kuongea…

By | May 28, 2018
Nilishakushirikisha jinsi ya kusikiliza, leo nakwenda kukushirikisha jinsi ya kuongea. Unaweza kushangaa kwamba kuongea nako inapaswa kujifunza? Si unatoa tu maneno uliyonayo? Ni sababu hiyo ndiyo inapelekea wengi kuingia kwenye matatizo, kuongea kwa sababu tu wanaweza kuongea. Sasa tujifunze jinsi ya kuongea. Ongea kwa sababu una kitu MUHIMU cha kuongea,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz