UKURASA WA 1251; Njia Iliyo Ndefu Ni Njia Ya Mkato…

By | June 4, 2018
Unapoenda sehemu ambayo hujawahi kwenda, na kuna njia ambayo wengine wamepita wakafika huko, na wamekuonesha njia hiyo ni ipi, lakini wakati upo njiani, akatokea mtu na kukuambia njia hiyo unayopita ni ndefu, ipo njia ya mkato, pita hapa utafika kirahisi. Je utafuata njia ndefu ya uhakika au utafuata ya mkato?

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz