MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
UKURASA WA 1251; Njia Iliyo Ndefu Ni Njia Ya Mkato…
Unapoenda sehemu ambayo hujawahi kwenda, na kuna njia ambayo wengine wamepita wakafika huko, na wamekuonesha njia hiyo ni ipi, lakini wakati upo njiani, akatokea mtu na kukuambia njia hiyo unayopita ni ndefu, ipo njia ya mkato, pita hapa utafika kirahisi. Je utafuata njia ndefu ya uhakika au utafuata ya mkato?