MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA LEO; NJIA SAHIHI YA KUFANYA KISICHO SAHIHI…
AMKA mwanamafanikio, Na siyo tu uamke kutoka kitandani, bali amka kutoka ndotoni, amka kutoka kwenye mawazo duni ya kifanya vitu kw mazoea, kufanya vitu kwa kawaida. Amka kutoka kwenye kujiandaa kuishi na amka uanze kuishi leo. Maana muda pekee ulionao ni huu, na unaweza kufanya chochote unachotaka na maisha yako,