UKURASA WA 1285; Ni Kwa Sababu Umechagua Kufanya, Na Siyo Kwa Sababu Inakubidi Ufanye…

By | July 8, 2018
Ipo misukumo ya aina mbili kwenye jambo lolote unalofanya kwenye maisha yako. Msukumo wa kwanza ni kwa sababu inabidi ufanye. Hapa ni pale unapofanya kitu kwa sababu huna namna nyingine, inakubidi tu ufanye, hata kama hutaki au hupendi kufanya. Kufanya kwa sababu inakubidi ufanye, mara nyingi hakuleti matokeo bora kabisa,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz