UKURASA WA 1365; Kuzuia Dharura Isiwe Kikwazo Kwako…

By | September 26, 2018
Haijalishi unafanya nini, kuna vitu vitatokea ambavyo hukutegemea kama vingetokea. Sisi huwa tunapanga, lakini asili inaendesha mambo yake kwa namna inavyoendesha yenyewe, hivyo haitaenda kulingana na mipango yetu, bali kulingana na mipango yake. Sasa kwa kuwa huwezi kuidhibiti asili, kwa kuwa huwezi kubadili mipango inayojiendesha kwa asili, hutaweza kuzuia vitu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz