MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1455; Kujua Na Kutokujua…
Hakuna mtu anayejua kila kitu, na hii ni habari njema kwa sababu kila mtu anayo nafasi ya kujifunza zaidi. Pia hakuna mtu ambaye hakuna anachojua kabisa, na hii pia ni habari njema kwa sababu kila mtu ana kitu anachoweza kuwafundisha wengine. Kujua na kutokujua ni hali mbili ambazo kila binadamu