1458; Thamani Ya Kitu Ukiwa Nacho Na Ukikipoteza…

By | December 28, 2018
Kuna vitu vingi sana huwa tunavyo, tunakuwa tumevizoea na kuvichukulia kawaida sana, kwa sababu tumeshakuwa navyo kwa muda na tunajua tutaendelea kuwa navyo. Kwa kuzoea kwetu  vitu hivyo, huwa tunaona havina thamani kubwa sana kwetu, na tunaweza kuviacha hovyo hovyo na kusahau kabisa kwamba mwanzoni tuliteseka sana kuvipata. Pale inapotokea

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz