1457; Unachopaswa Kufanya Kwa Wakati Ulionao…

By | December 27, 2018
Ni kile ambacho umepanga kufanya, kile ambacho ni muhimu zaidi kwa wakati huo. Unapaswa kuweka akili yako yote na nguvu zako zote kwenye kitu kimoja ambacho umechagua kufanya. Kugawa akili yako na nguvu zako kwenye mambo mengi kwa wakati mmoja ni kupunguza ufanisi wake. Chukua mfano wa jua, jua likitawanywa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz