MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1457; Unachopaswa Kufanya Kwa Wakati Ulionao…
Ni kile ambacho umepanga kufanya, kile ambacho ni muhimu zaidi kwa wakati huo. Unapaswa kuweka akili yako yote na nguvu zako zote kwenye kitu kimoja ambacho umechagua kufanya. Kugawa akili yako na nguvu zako kwenye mambo mengi kwa wakati mmoja ni kupunguza ufanisi wake. Chukua mfano wa jua, jua likitawanywa