MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1610; Tahajudi Kwenye Kila Kitu…
Watu wengi wamekuwa wanasema wanapenda kufanya tahajudi, lakini wanaona hawana muda wa kukaa na kutulia kufanya tahajudi. Mtu mmoja amewahi kusema kama huwezi kutenga dakika kumi za kufanya tahajudi, basi unapaswa kujilazimisha kutenga dakika 20. Kwa sababu kama huwezi kupata dakika kumi basi maana yake maisha yako yamevurugwa sana kiasi