MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA LEO; KAZI NI TIBA…
“Work nourishes noble minds.” —SENECA, MORAL LETTERS, 31.5 Ni furaha iliyoje mimi na wewe rafiki yangu kuiona siku hii nyingine nzuri sana ya leo. Hatuna cha kusema bali shukrani kwa nafasi hii nyingine ya kipekee sana kwetu. Siyo kila aliyeweka mipango yake jana kwa ajili ya leo amepata nafasi hii