MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1655; Usijiambatanishe Na Matokeo…
Maisha yanapaswa kuwa ya furaha wakati wote, iwe una kila unachotaka au huna. Lakini maisha ya wengi yamekuwa siyo ya furaha, kwa sababu wengi wamekuwa wanajiambatanisha na matokeo wanayotaka kupata. Sasa inapotokea kwamba hawapati matokeo hayo, wanaona maisha yao hayajakamilika na hilo linavuruga furaha waliyonayo kwenye maisha yao. Hivyo ni