1654; Muda Wa Kazi Tu…

By | July 12, 2019
Kuna jambo moja la kushangaza sana kwenye zama tunazoishi sasa, watu wanatumia muda mwingi kwenye kazi zao, lakini uzalishaji na ufanisi wao ni mdogo mno. Watu watakuambia wanafanya kazi masaa 16 mpaka 18 kwa siku, wanafanya kazi usiku na mchana, lakini ukiangalia matokeo wanayozalisha, hayana tofauti kubwa na wale wanaofanya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz