2141; Hakuna Kinachofanywa Mara Moja…

By | November 10, 2020
Simu ya Iphone iko kwenye toleo la 12, wakati toleo la kwanza linatoka, ilikuwa ni mapinduzi makubwa mno kwenye ulimwengu wa teknolojia na mawasiliano. Ilikuwa ni kitu ambacho hakijawahi kuonekana wala kudhaniwa na ilibadili kabisa maisha ya watu. Ingetosha kwa kampuni ya Apple kusema wamemaliza, wameweza kuleta mapinduzi makubwa na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz