MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA LEO; UBAYA UNAJIFANYIA MWENYEWE…
“To do harm is to do yourself harm. To do an injustice is to do yourself an injustice — it degrades you.” — Marcus Aurelius Unapowafanyia wengine ubaya, siyo wao pekee wanaoathirika, bali wewe mwenyewe unaathirika zaidi. Huwezi kuwadanganya wengine kama hujajidanganya wewe mwenyewe. Unapowaumiza wengine, ni kwa sababu ndani