2185; Muda Na Nguvu…

By | December 24, 2020
Kuna kauli moja fupi ila yenye maana kubwa sana, kauli hiyo inasema muda huwa ni tiba ya kila kitu. Chochote kinachoshindikana, kipe muda. Muda una nguvu kubwa, hasa unapokuwepo wa kutosha. Lakini wengi huwa hawaweki muda wa kutosha kwenye kitu chochote wanachofanya. Matokeo yake wanalazimika kutumia nguvu kubwa ili kulazimisha

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz