#TAFAKARI YA LEO; MAANA YA MAISHA NI KUKUA KIROHO…

By | December 24, 2020
“Grow spiritually and help others to do so; it is the meaning of life.” – Leo Tolstoy Maana ya maisha yetu na jukumu kubwa kabisa tulilonalo hapa duniani ni kukua kiroho. Changamoto nyingi tunazokutana nazo kwenye maisha na kutuyumbisha, ni kwa sababu ya uchanga wa kiroho. Unapokua kiroho, unaweza kukabiliana

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz