2191; Familia Yako Imekushinda, Unahangaika Na Dunia!

By | December 30, 2020
Sisi binadamu huwa tunachekesha na kuhuzunisha kwa wakati mmoja. Mambo yaliyo ndani ya uwezo wetu kufanya huwa hatuyafanyi, bali yaliyo nje ya uwezo wetu ndiyo tunahangaika nayo. Mambo yaliyo muhimu na yenye manufaa kwetu huwa hatuhangaiki nayo, ila yale yasiyo muhimu na yasiyo na manufaa kwetu ndiyo yanatuhangaisha. Huwa tunakazana

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz