#TAFAKARI YA LEO; KUJIANDAA KUISHI…

By | March 8, 2021
Sehemu ambayo wengi wanayapoteza maisha yao ni kwenye kujiandaa kuishi. Kila wakati mtu anajiambia hajawa tayari, hivyo hafanyi kile anachotaka. Ukiwa shule unasema ukihitimu utaanza kuishi maisha yako. Ukihitimu unasema ukipata kazi utaanza. Ukipata kazi unasema ukimaliza kulea utaanza. Ukimaliza kulea unasema ukistaafu utaanza. Ukistaafu unakuta muda umeshakuacha. Seneca amewahi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz