#TAFAKARI YA LEO; LINDA UTULIVU WA AKILI YAKO…

By | March 9, 2021
Watu wakitaka kuyavuruga maisha yako, wanaanza kwa kuvuruga akili yako. Watu wakitaka kukuibia au kukutapeli, wanaanza kwa kuivuruga akili yako. Na hata wale wanaotaka kukutumia kwa manufaa yao, wanahakikisha wamevuruga akili yako kwanza. Akili yako ni rasilimali muhimu na yenye nguvu kubwa ndiyo maana ni kitu cha kwanza kushambuliwa. Kila

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz